Ndugu waumini tumsifu Yesu Kristu,siku ya kongamano la tatu la Ekaristi
Takatifu kitaifa imeawadia ni tarehe 8-11/06/2016 katika Jimbo kuu la Mwanza
wote mnaalikwa tumwabudu Yesu wa Ekaristi.
PIA
KUTAKUWA NA KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU WA KIPAPA. KILA LA HERI KWENU WOTE
MUTAKAO JAALIWA KUHUDHURIA HUKO. "SISI WANA TUNDURU-MASASI TUNAWALETEA
MSALABA WA KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU 2016
Huu ni moja ya wimbo uliopo katika Album ya 3 iitwao "OLE WAO"Wimbo huu unaitwa NINA HAJA NAWE umeimbwa na Kwaya ya Mt. Yohane Paulo wa 2- Jordan...Read more »
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni