Kardinali Christoph Schonborn, Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Vienna katika mahojiano maalum na Radio Vatican anasema, Mtandao wa Wabunge Wakatoliki Kimataifa ulianzishwa kunako mwaka 2010, ili kuwawezesha wabunge kuendelea kutekeleza dhamana na wajibu wao katika masuala ya kisiasa kama waamini wa Kanisa Katoliki. Papa Mstaafu Benedikto XVI na sasa Baba Mtakatifu Francisko, daima wamewatia shime, ili kuweza kukabiliana na changamoto katika mabunge ya nchi zao kwa kujikita katika imani na Mafundisho Jamii ya Kanisa.
Mtandao wa Wabunge Wakatoliki Kimataifa wakutana na Papa Francisko
Kardinali Christoph Schonborn, Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Vienna katika mahojiano maalum na Radio Vatican anasema, Mtandao wa Wabunge Wakatoliki Kimataifa ulianzishwa kunako mwaka 2010, ili kuwawezesha wabunge kuendelea kutekeleza dhamana na wajibu wao katika masuala ya kisiasa kama waamini wa Kanisa Katoliki. Papa Mstaafu Benedikto XVI na sasa Baba Mtakatifu Francisko, daima wamewatia shime, ili kuweza kukabiliana na changamoto katika mabunge ya nchi zao kwa kujikita katika imani na Mafundisho Jamii ya Kanisa.
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni