-Inapatikana katika Mathayo 16:18-19,Luka 22:31-32,Yohane 21:15-17 nk.
"Nami nakuambia,Wewe ni Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu,wala milango ya kuzimu haitalishinda.Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni na lolote utakalofunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni,na lolote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni"
"Akasema,Simoni,Simoni,tazama shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;lakini mimi nimekuombea wewe ili imani yako isipungue,nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako"
"Basi walipokwisha kula,Yesu akamwambia Simoni Petro 'Simoni Mwana wa Yohana,je wanipenda kuliko hawa?,Akamwambia Naam Bwana nakupenda;akamwambia lisha kondoo wangu.Akamwambia tena mara ya pili,Simoni Mwana wa Yohana,wanipend
a?Akamwambia ndiyo Bwana,wewe wajua kuwa nakupenda.Akamw
ambia,Chunga kondoo zangu.Akamwambia tena mara ya tatu,Simoni mwana wa Yohana,wanipend
a?Petro akahuzunika kwavile alivyomwambia mara ya tatu 'wanipenda'.....akamwambia lisha kondoo wangu"
~Ni kwasababu ya ukuu wa utume anaouchukua.Ni ili awe mtu mpya na aweze kutekeleza kazi hiyo kama somo wake.
"Akawaweka wale Thenashara na Simoni akampa jina la "PETRO"
Ikumbukwe kuwa,Petro mwanzoni aliitwa SIMONI na jina PETRO alipewa na Yesu mwenyewe ambalo lilitokana na neno "PETRA" Likiwa na maana ya "Mwamba"
"Nami nakuambia,wewe ni PETRO na ju ya MWAMBA huu nitalijenga kanisa langu"
~Jina hilo linadokeza yale mambo makuu anayoyasimamia,Papa anasimamia "MAMBO MATAKATIFU".
anaweza kuwa Mtakatifu au asiwe mtakatifu,hiynategemea na bidii yake mwenyewe(1Wakorintho 9:16-27)
"Hata mimi napiga mbio vivyo hivyo,si kama asitaye,napigana vivyo hivyo si kama apigaye hewa bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha,isiwe nikiisha kuwahubiria wengine,mimi mwenyewe niwe mtu wa kukataliwa"
By Fr.Andrew Lupondya
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni