0
Katekesi ya Papa: yaonya kutohukumu wengine ila kusamehe .
Katekesi ya Papa: yaonya kutohukumu wengine ila kusamehe .

Baba Mtakatifu Francisko , amewaataka Wakristo kuwa na huruma,  kama Bwana wao  alivyo na huruma kwao. Ametaja kwamba, hiyo ni njia nzuri zaidi ya kuushuhudia Upendo wa Kristo kwa watu wote. Na wasipende kuhukumu wengine, isipokuwa kuwa wasamehevu. … Soma zaidi »

Soma zaidi »
22Sep2016

0
Papa akemea mauaji ya kutumia jina la Mungu kwamba ni mauaji ya kishetani.
Papa akemea mauaji ya kutumia jina la Mungu kwamba ni mauaji ya kishetani.

Mapema Jumatan 14 Septemba 2016, akiongoza Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Kanisa dogo la Mtakatifu Marta, Vatican,  Baba Mtakatifu Francisko,  alimtaja Marehemu Padre Jacques Hamel , kuwa ni shahidi wa imani na kwamba mashahidi wa imani ni wenye Heri… Soma zaidi »

Soma zaidi »
22Sep2016

0
ELIMU IWE CHOMBO CHA KUMKOMBOA MWANADAMU
ELIMU IWE CHOMBO CHA KUMKOMBOA MWANADAMU

ASKOFU wa Jimbo Katoliki Iringa Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa amesema kuwa, elimu ni chombo cha ukombozi kwa mwanadamu na iwapo ataikosa anapungukiwa uelewa na uwezo wa kuyatawala mazingira anamwoishi.  … Soma zaidi »

Soma zaidi »
09Sep2016

0
Kardinali Parolin aongoza Ibada ya Misa ya Shukurani kwa ajili ya Mtakatifu Mama Tereza
Kardinali Parolin aongoza Ibada ya Misa ya Shukurani kwa ajili ya Mtakatifu Mama Tereza

(Vatican Radio) Jumatatu hii majira ya saa nne za asubuhi, katika Uwanja wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, Kardinali Pietro Parolin, Katibu wa Jimbo Takatifu ,aliongoza  Maadhimisho ya Misa ya Shukurani , kwa ajili ya Mama Tereza wa Calcutta kutanga… Soma zaidi »

Soma zaidi »
09Sep2016

0
Papa: Mtakatifu Mama Tereza ni mwanga unaomulikia wengi walio gizani
Papa: Mtakatifu Mama Tereza ni mwanga unaomulikia wengi walio gizani

Jumapili 4 Septemba 2016 , Papa Francisko alimtangaza Mama Tereza wa Calcutta,  kuwa Mtakatifu , anayemulikia wengi walio katika giza la maisha,  wengi  waliokata tamaa, na waliopoteza matumaini ya kuondokana na hali ya umasikni na mateso. Na  kwa s… Soma zaidi »

Soma zaidi »
09Sep2016

0
Tanzania ya wakilishwa na maaskofu wa tano katika ...
Tanzania ya wakilishwa na maaskofu wa tano katika ...

Soma zaidi »

Soma zaidi »
05Sep2016

0
MAMA TERESA WA KALKUTA NI MTAKATIFU
MAMA TERESA WA KALKUTA NI MTAKATIFU

Baba Mtakatifu Fransisko, siku ya Dominika tarehe 4 Sept 2016, katika ibada aliyoiongoza katika viwanja vya Basilika la Mt. Petro, Vatican, amemtangaza Mama Teresa wa Kalkuta kuwa Mtakatifu na kuwaalika waamini wote kumpa Mama Teresa heshima hiyo al… Soma zaidi »

Soma zaidi »
04Sep2016

0
Mkutano wa Idara ya Afya unaofanyika katika Baraza...
Mkutano wa Idara ya Afya unaofanyika katika Baraza...

Soma zaidi »

Soma zaidi »
03Sep2016

0
Papa : ni wajibu kwa binadamu kutunza viumbe
Papa : ni wajibu kwa binadamu kutunza viumbe

Tarehe Mosi Septemba, ambamo Mama Kanisa alifanya Maombi ya Kiekumeni  kwa ajili ya Utunzaji wa Viumbe, Baba Mtakatifu Francisko alitoa ujumbe wenye kuhimiza kila binadamu atumie hekima na busara katika matumizi ya viumbe vya dunia  yetu hii ambayo … Soma zaidi »

Soma zaidi »
03Sep2016

0
Kongamano la Wadomenikani juu ya haki za binadamu
Kongamano la Wadomenikani juu ya haki za binadamu

Ijumaa 02.09.2016, Wadomenikani walifungua Kongamano lao la VII, kama sehemu ya mwendelezo wa Mradi wao wa Salamanca , wenye kujumuisha viongozi wa ngazi za juu wa shirika kwa ajili ya kutafakari azma yao ya kutetea haki za binadamu, wakitazama waka… Soma zaidi »

Soma zaidi »
03Sep2016

0
JIMBO KATOLIKI BUNDA LAPATA PADRI MPYA, KATIKA PAR...
JIMBO KATOLIKI BUNDA LAPATA PADRI MPYA, KATIKA PAR...

Soma zaidi »

Soma zaidi »
01Sep2016
 
123 ... 72»
 
Top