Baba Mtakatifu Francisko Alhamisi, tarehe 28 Julai 2016 ameadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye Madhabahu ya Jasna Gòra kama sehemu ya ki...
Mapambano dhidi ya Ukimwi Duniani!
Mkutano wa Ukimwi wa Kanisa Katoliki Kimataifa unawaunganisha wataalam na wadau mbali mbali ambao wamekuwa mstari wa mbele katika mapambano...
WALIMU NA WADAU WA MUZIKI MTAKATIFU WAKUTANA TEC
Baadhi ya matukio yanayojiri katika Mkutano unaowakutanisha Walimu na wadau wa Muziki Mtakatifu wa Kanisa Katoliki, hasa wanao...
Papa Francisko:Ziarani Krakow Poland
Jumatano hii majira ya saa nane za Italia, Baba Mtakatifu alielekea Krakow Poland tokea uwanja wa ndege wa Fiumicino Italia , kwa ndege ya ...
Vijana ni majembe ya huruma ya Mungu!
Kardinali Stanislaw Dziwisz, Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Cracovia anapenda kuchukua fursa hii kuwakaribisha vijana wa kizazi kipya kutoka s...
Ujumbe kwa familia ya Mungu Barani Afrika!
Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Afrika na Madagascar, SECAM, baada ya kuhitimisha mkutano wake mkuu wa 17 uliokuwa unafanyika h...
Watakatifu mifano ya kuigwa na vijana!
Waandaaji wa maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani kwa Mwaka 2016 huko Cracovia, Poland kuanzia tarehe 26- 31 Julai 2016 wameweka pia masal...
Mbinu mkakati wa kudumisha ukuu na utakatifu wa ndoa!
hirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Afrika na Madagascar, SECAM katika mkutano wake mkuu wa 17 huko Luanda, Angola kuanzia tarehe 18 ...





