0
ALELUYA- MUCE IRINGA (official Gospel Video)
ALELUYA- MUCE IRINGA (official Gospel Video)

Soma zaidi »

Soma zaidi »
27Nov2017
0

Tabia ya Baba Mtakatifu katika mawasiliano daima ni nyepesi, mtazamo na ishara zake ndiyo mtindo wake. Ni maneno ya Monsinyo Dario Vigano’ Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Mawasiliano Vatican wakati wa kuwasilisha Toleo Jipya la Kitabu kinacho elez… Soma zaidi »

Soma zaidi »
20Nov2017

0
Tusikunje mikono yetu,tuwajibike na kuwafungulia maskini!
Tusikunje mikono yetu,tuwajibike na kuwafungulia maskini!

Tunayo furaha kubwa ya kuumega mkate wa Neno na baadaye utamegwa na kuupokea mkate wa Ekaristi, kirutubisho cha safari ya maisha. Na ni furaha kwa wote kwani  hakuna asiye hitaji maana wote ni waombaji wa jambo muhimu la upendo wa Mungu anayetoa… Soma zaidi »

Soma zaidi »
20Nov2017

0
Papa amekutana na kuzungumza na Bw.Kofi Annan
Papa amekutana na kuzungumza na Bw.Kofi Annan

Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Nov2017

0
Papa:Tumsifu Mungu anayetoa zawadi ya wito bila kuuondoa kamwe!
Papa:Tumsifu Mungu anayetoa zawadi ya wito bila kuuondoa kamwe!

Soma zaidi »

Soma zaidi »
07Nov2017

0
Baba Mt.amemteua Padre Jean-Patick Iba-Ba kuwa Askofu mpya wa Francaville
Baba Mt.amemteua Padre Jean-Patick Iba-Ba kuwa Askofu mpya wa Francaville

Baba Mtakatifu amemteua Askofu mpya wa Jimbo la Franceville  nchini Gabon, Padre Jean-Patick Iba-Ba, ambaye hadi uteuzi huo alikuwa ni Gombera wa Seminari Kuu ya Kitaifa ya Mtakatifu Augustin” huko Libreville Gabon.  Padre Jean-Patick Iba-Ba, al… Soma zaidi »

Soma zaidi »
07Nov2017

0
WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI WAOMBEWA NA PAPA FRANSISKO
WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI WAOMBEWA NA PAPA FRANSISKO

Hapo jana (Ijumaa tarehe 3 Novemba), Baba Mtakatifu Fransisko ameadhimisha misa Takatifu kwa ajili ya kuwaombea marehemu wote makardinali na Maaskofu waliokufa kwa kipindi cha mwaka huu. Katika mahubiri yake anasema, kwa mara nyingine tena Lituru… Soma zaidi »

Soma zaidi »
07Nov2017

0
‘KUTOSALI ROZARI NI KUKOSA DIRA’
‘KUTOSALI ROZARI NI KUKOSA DIRA’

Soma zaidi »

Soma zaidi »
07Nov2017

0
Papa:Sisi sote ni ndugu hatuna haja ya kujiona bora zaidi ya wengine!
Papa:Sisi sote ni ndugu hatuna haja ya kujiona bora zaidi ya wengine!

Madaraka yoyote yakitumika vibaya yanaunda ukosefu wa uaminifu na kuleta  vizingiti, lakini mitume wa Yesu wanaalikwa kuwa makini na wasijiweke juu ya wengine kwa hali yoyote badala yake watoe huduma. Haya ni maonyo yanayojitokeza katika mahubir… Soma zaidi »

Soma zaidi »
07Nov2017

0
‘Nimesamehe’  Ni baada ya Askofu Mkude kuzushiwa kifo
‘Nimesamehe’ Ni baada ya Askofu Mkude kuzushiwa kifo

ASKOFU wa Jimbo Katoliki Morogoro Mhashamu Telesphor Mkude amesema amewasamehe wale wote waliomzushia kifo wakati akiwa nchini India akiendelea kupatiwa matibabu kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu. Askofu Mkude ameyasema hayo … Soma zaidi »

Soma zaidi »
07Nov2017

0
Askofu Castory Msemwa wa Jimbo Katoliki Tunduru- Masasi afariki dunia
Askofu Castory Msemwa wa Jimbo Katoliki Tunduru- Masasi afariki dunia

Jimbo Katoliki Tunduru Masasi nchini Tanzania linasikitika kumpoteza mpendwa wao Baba Askofu  Castory Msemwa aliyefariki tarehe 19 Oktoba 2017, saa 7 mchana nchini Oman. Kwa mujibu wa Makamu wa Askofu wa Jimbo Katoliki Tunduru Masasi, Padri Jord… Soma zaidi »

Soma zaidi »
07Nov2017
 
 
Top