ASKOFU wa Jimbo Katoliki Morogoro Mhashamu Telesphor Mkude amewaasa waamini kuachana na matendo maovu katika kipindi hiki cha Kwaresma na b...
Kwaresima: Siku 40 za kutembea katika Jangwa ya maisha ya kiroho!
Wakati umetimia na ufalme wa Mungu umekaribia, tubuni na kuiamini Injili, (Mk 1:15), haya ndiyo maneno ya kwanza ya Yesu ambayo kadri ya M...
Jumatano ya Majivu: Misingi ya imani: Sadaka, Sala na Mfungo!
Mwaliko “Mnirudie mimi, kwa machozi, kulia na maombolezo.” Maneno haya ya Nabii Yoeli yanaweza kuwa kauli mbiu ya Kipindi cha Kwaresima y...
Papa Francisko anakutana na Wakleri wa Roma tarehe 2 Machi 2017
Kardinali Agostino Vallini, Makamu Askofu Jimbo kuu la Roma amewaandikia Wakleri wote wa Jimbo kuu la Roma kushiriki na Baba Mtakatifu Fran...
Miaka 4 imegota tangu Benedikto XVI alipong'atuka rasmi madarakani
Ilikuwa ni tarehe 28 Februari 2013, Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI alipong’atuka rasmi kutoka madarakani na kuhama kutoka Vatican ili...
Kanisa Katoliki latumia milioni 140 kuchimba visima vya maji safi
Baba Mtakatifu Francisko anaitaka Jumuiya ya Kimataifa kuwa makini sana katika matumizi ya rasilimali maji, kwani hii ni sehemu ya haki msi...
Mchakato wa Papa Benedikto wa XIII kuelekea utakatifu wafungwa!
Kardinali Agostini Vallini, Makamu Askofu Jimbo kuu la Roma, Ijumaa tarehe 24 Februari 2017 ameadhimisha ibada maalumu katika Jengo la Kitu...







