Baba Mtakatifu Francisko, tarehe 8 Oktoba 2016 amepitisha kanuni mpya za uendeshaji wa taasisi ya Kipapa kwa ajili ya Maisha. Kanuni zitakaz...
Kanisa kuu la Mt. Yosefu Mfanyakazi, Karonga, Malawi latabarukiwa
Kardinali Fernando Filoni, Mwenyekiti wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa watu katika safari yake kitume nchini Malawi, kuanzia tarehe 3 ...
Gundueni na kusimamia tunu msingi za maisha ya ndoa na familia!
Baba Mtakatifu Francisko, Jumamosi, tarehe 5 Novemba 2016 ameipongeza familia ya Asburg iliyokuwa inafanya hija ya kiroho mjini Roma, kama s...
Jubilei ya Wafungwa Duniani: Maboresho ya maisha na msamaha!
Baba Mtakatifu Francisko mara baada ya maadhimisho ya Jubilei ya Wafungwa Duniani kama sehemu ya maadhimisho ya Mwaka Mtakatifu wa Jubilei y...
Andikeni historia yenu kwa neema na baraka na uwajibikaji binafsi
Maadhimisho ya Jubilei ya Mwaka mtakatifu wa huruma ya Mungu kwa ajili ya wafungwa kutoka sehemu mbali mbali za dunia, Jumapili, tarehe 6 No...
Umuhimu wa ukimya katika maadhimisho ya Liturujia ya Kanisa!
Kardinali Robert Sarah, Mwenyekiti wa Baraza la Kipapa la Nidhamu na Sakramenti za Kanisa anazungumzia kuhusu umuhimu wa ukimya katika maadh...
Msikate tamaa, simameni kidete kutangaza na kushuhudia furaha ya Injili
Kardinali Fernando Filoni, Mwenyekiti wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa watu, anaendelea na ziara yake nchini Malawi, akimwakilisha Ba...
Ekaristi Takatifu, chemchemi ya huruma na upendo wa Mungu!
Jimbo kuu la Mwanza, Tanzania kuanzia tarehe 25 Septemba hadi tarehe 1 Oktoba 2016 liliendesha Kongamano la Huruma ya Mungu lililowashiriki...







