0
BAADHI YA MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA UTENDAJI WA KWAYA.
BAADHI YA MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA UTENDAJI WA KWAYA.

1. Nyimbo zifuate vipindi vya mwaka wa liturujia wa Kanisa na ziwe sahihi kufuata misale ya altare na kitabu cha masombo pamoja na kalenda ya liturujia.2. Zichaguliwe nyimbo zinazoweza kuimbwa kwa urahisi na zinazowashirikisha waamini wanaoshiriki a… Soma zaidi »

Soma zaidi »
31Dec2016

0
Maaskofu watoa angalizo kuhusu mwelekeo wa nchi
Maaskofu watoa angalizo kuhusu mwelekeo wa nchi

Soma zaidi »

Soma zaidi »
30Dec2016

0
Kardinali Rylko ateuliwa kuwa ni mhudumu Kanisa kuu la B. Maria Mkuu
Kardinali Rylko ateuliwa kuwa ni mhudumu Kanisa kuu la B. Maria Mkuu

Baba Mtakatifu Francisko amekubali ombi la kung’atuka kutoka madarakani lililowasilishwa kwake na Kardinali Santos Abril y Castellò, mhudumu mkuu na msimamizi wa kitume wa Kanisa kuu la Bikira Maria Mkuu lililoko mjini Roma. Wakati huo huo, Baba Mta… Soma zaidi »

Soma zaidi »
29Dec2016

0
Mwongozo wa mahubiri makini!
Mwongozo wa mahubiri makini!

Askofu mkuu Arthur Roche, Katibu mkuu wa Baraza la Kipapa la Ibada, Nidhamu na Sakramenti za Kanisa anasema kwamba, Mwongozo wa Mahubiri uliotolewa na Baraza lake hivi karibuni una pania pamona na mambo mengine kufafanua umuhimu wa mahubiri katika m… Soma zaidi »

Soma zaidi »
29Dec2016

0
Papa Francisko: Imani ni mapambano katika majaribu!
Papa Francisko: Imani ni mapambano katika majaribu!

Baba Mtakatifu Francisko katika katekesi yake ya kila Jumatano, na  iliyofanyikia katika ukumbi wa Paulo wa sita tarehe 28 Desemba 2016 ,  ametoa tafakari  juu ya imani na matumaini ya Abrahamu baba wa imani kutoka (Mw 15, 3-6). Alianza  kusema , ka… Soma zaidi »

Soma zaidi »
29Dec2016

0
Wanandoa wawe ni mashuhuda na vyombo vya Injili ya familia!
Wanandoa wawe ni mashuhuda na vyombo vya Injili ya familia!

Soma zaidi »

Soma zaidi »
29Dec2016

0
Papa Francisko tuchague maisha ya mwanga na kutoa ushuhuda kama Mt Stefano
Papa Francisko tuchague maisha ya mwanga na kutoa ushuhuda kama Mt Stefano

Jumatatu 26 Desemba wakati Kanisa linasherehekea sikukuu ya Mtakatifu Setefano, Baba Mt Francisko katika sala ya Malaika Bwana alitoa mahubiri kwa mahujaji wote waliofika viwanja vya Mtakatifu Petro akisema:Furaha ya kuzaliwa kwa Bwana inatujaza mio… Soma zaidi »

Soma zaidi »
26Dec2016

0
Noeli: Mwenyezi Mungu anabisha hodi katika malango ya maisha yenu!
Noeli: Mwenyezi Mungu anabisha hodi katika malango ya maisha yenu!

Soma zaidi »

Soma zaidi »
25Dec2016

0
Salam na matashi mema kwa Papa Mstaafu Benedikto XVI
Salam na matashi mema kwa Papa Mstaafu Benedikto XVI

Baba Mtakatifu Francisko anasema, Noeli ni Siku kuu ya Mwanga na amani; ni muhtasari wa ufunuo wa huruma ya Mungu katika umaskini wa binadamu; ni Siku kuu ya kuonesha upendo, umoja na mshikamano kati ya watu, kwa kutambua ule uzuri wa kupendwa na ku… Soma zaidi »

Soma zaidi »
25Dec2016

0
KITOTO CHA MBINGU_ST. JOHN PAUL II MBEYA CHOIR - JMC
KITOTO CHA MBINGU_ST. JOHN PAUL II MBEYA CHOIR - JMC

Soma zaidi »

Soma zaidi »
24Dec2016

0
Mkesha wa Siku kuu ya Noeli mjini Vatican
Mkesha wa Siku kuu ya Noeli mjini Vatican

Soma zaidi »

Soma zaidi »
24Dec2016

0
Mwinjili Mathayo anachambua historia na mazingira ya kuzaliwa Yesu
Mwinjili Mathayo anachambua historia na mazingira ya kuzaliwa Yesu

Jamani la mgambo limelia!“Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi” ndiyo maneno yanayofungua Injili ya leo. Kutoka hapo tungetegemea kusikia huko kuzaliwa kulivyokuwa kama anavyoeleza mwinjili Luka kwamba Yosefu na Maria wanaenda Betlehemu, halafu … Soma zaidi »

Soma zaidi »
24Dec2016

0
Maaskofu USA: Wekezeni katika utume wa vijana!
Maaskofu USA: Wekezeni katika utume wa vijana!

Baba Mtakatifu Francisko amehitimisha maadhimisho ya Mwaka Mtakatifu wa Jubilei ya huruma ya Mungu kwa kulizawadia Kanisa Waraka wa Kitume “Misericordia et misera” yaani, “Huruma na amani” kama sehemu ya mchakato wa mwendelezo wa maadhimisho ya Mwak… Soma zaidi »

Soma zaidi »
24Dec2016

0
Ni wakati wa kusikiliza na kujibu kilio cha watu wanaoteseka!
Ni wakati wa kusikiliza na kujibu kilio cha watu wanaoteseka!

Kardinali Pietro Parolin, Katibu mkuu wa Vatican, Alhamisi, jioni tarehe 22 Desemba 2016 ameadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye Kituo cha Mshikamano nchini Italia kilichoko mjini Roma na kuzindua “nyumba ya Sara” iliyojengwa kwa ajili ya kuwasai… Soma zaidi »

Soma zaidi »
24Dec2016

0
Papa Francisko aruhusu kuwatangaza Watakatifu wapya na wenye Heri wa Kanisa
Papa Francisko aruhusu kuwatangaza Watakatifu wapya na wenye Heri wa Kanisa

Tarehe 21 Desemba 2016 Baba Mtakatifu Francisko  alikutana na Kardinali Angelo Amato Mwenyekiti wa Baraza la Kipapa kwaajili ya kuwatangaza wenye Heri na watakatifu.Katika mkutano wao ametoa ruhusa ya kuwatambua na kuwatangaza watakatifu,na wenye he… Soma zaidi »

Soma zaidi »
24Dec2016

0
Viongozi wa Kanisa Katoliki la Congo DRC kutafuta suluhisho la migogoro ya kisiasa
Viongozi wa Kanisa Katoliki la Congo DRC kutafuta suluhisho la migogoro ya kisiasa

Rais wa Baraza la Maaskofu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Nchi ya Congo (DRC) Askofu Mkuu Marcel Utembi Tapa alitoa wito kwa vyama vya upinzini kufanya mazungmzo na makubaliano  kwaajili ya usimamizi wa kipindi cha mpito  ,hayo  ni kwasababu ya kutak… Soma zaidi »

Soma zaidi »
24Dec2016

0
Noeli: Yesu azaliwe mioyoni mwenu!
Noeli: Yesu azaliwe mioyoni mwenu!

Aliyetungwa kwa uweza wa Roho Mtakatifu akazaliwa na Bikira Maria ndiyo tema iliyochambuliwa na Padre Raniero Cantalamessa Ijumaa, tarehe 23 Desemba 2016 wakati wa mahubiri yake ya nne ya Kipindi cha Majilio kwa Mwaka 2016 yanayoongozwa na kauli mbi… Soma zaidi »

Soma zaidi »
24Dec2016

0
TAREHE YA KUZALIWA KWA KRISTO
TAREHE YA KUZALIWA KWA KRISTO

Soma zaidi »

Soma zaidi »
17Dec2016

0
: Mwongozo wa Malezi ya Kipadre
: Mwongozo wa Malezi ya Kipadre

LUDOVICKMEDIA BLOGSPOT: Mwongozo wa Malezi ya Kipadre: Baraza la Kipapa kwa ajili ya Wakleri limechapisha mwongozo wa malezi ya Kipadre  unaojulikana kama  “Ratio Fundamentalisi Institutionis Sac...… Soma zaidi »

Soma zaidi »
17Dec2016

0
Mwongozo wa Malezi ya Kipadre
Mwongozo wa Malezi ya Kipadre

Baraza la Kipapa kwa ajili ya Wakleri limechapisha mwongozo wa malezi ya Kipadre  unaojulikana kama “Ratio Fundamentalisi Institutionis Sacerdotalis” yaani “Zawadi ya wito wa Kipadre”. Utangulizi wa mwongozo huu unabainisha changamoto iliyotolewa na… Soma zaidi »

Soma zaidi »
17Dec2016

0
Tafakari: Kulewa busara ya Roho Mtakatifu!
Tafakari: Kulewa busara ya Roho Mtakatifu!

Tafakari zinazotolewa na Padre Raniero Cantalamessa wakati huu wa Kipindi cha Majilio kama sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya Sherehe ya Noeli kwa mwaka 2016 zinaongozwa na kauli mbiu “Roho Mtakatifu ni chemchemi ya matumaini”. Hizi ni ni tafaka… Soma zaidi »

Soma zaidi »
17Dec2016

0
Jumuiya ya wanafunzi watanzania Roma yapata
Jumuiya ya wanafunzi watanzania Roma yapata "majembe ya nguvu"

Maadhimisho ya Kumbu kumbu ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania ilikuwa ni nafasi nyingine kwa Jumuiya wanafunzi Wakatoliki Watanzania wanaosoma na kuishi Roma kufanya uchaguzi, ili kuwapata viongozi watakaongoza jahazi kwa kipindi cha mwaka 2016 – 2017… Soma zaidi »

Soma zaidi »
17Dec2016

0
Jimbo kuu la Mwanza: Mwaka wa huruma, Mwaka wa Padre na Uinjilishaji
Jimbo kuu la Mwanza: Mwaka wa huruma, Mwaka wa Padre na Uinjilishaji

Ifuatayo ni barua ya kichungaji kutoka kwa Askofu mkuu Yuda Thaddeus Ruwaichi wa Jimbo kuu la Mwanza Tanzania anayepembua kwa kina na mapana maadhimisho ya Mwaka Mtakatifu wa Jubilei ya huruma ya Mungu Jimbo kuu la Mwanza; Maadhimisho ya Mwaka wa Pa… Soma zaidi »

Soma zaidi »
17Dec2016

0
Wakristo wafungulie Yesu njia , na watoe ushuhuda.
Wakristo wafungulie Yesu njia , na watoe ushuhuda.

Wakristo wanatakiwa kumuona Yohane mbatizaji kama mfano wa ushuhuda wa unyenyekevu wa Yesu aliyejishusha hadi mauti, ili kuonesha ujio wa Mungu, ni maneno ya Baba Mt. wakati wa Ibada ya Misa katika Kanisa la Mt. Marta  akiwahubiri waamini, wakiwemo … Soma zaidi »

Soma zaidi »
17Dec2016

0
17 Desemba 2016 Baba Mt. Francisko anafikisha mika 80 ya kuzaliwa
17 Desemba 2016 Baba Mt. Francisko anafikisha mika 80 ya kuzaliwa

Jumamosi 17 Desemba ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Baba Mtakatifu Francisco atafikisha miaka 80 ya kuzaliwa .Saa mbili asubuhi  ya siku hiyo ,katika Kanisa  dogo Paolina , Baba Mtakatifu ataadhimisha  ibada ya misa Takatifu  akiwa na Makardin… Soma zaidi »

Soma zaidi »
16Dec2016

0
Ratiba ya maadhimisho ya misa za Papa wakati wa Sikukuu za Noel 2016-2017
Ratiba ya maadhimisho ya misa za Papa wakati wa Sikukuu za Noel 2016-2017

Soma zaidi »

Soma zaidi »
16Dec2016

0
 Minde awataka waamini kijiandaa kumpokea Mtot...
Minde awataka waamini kijiandaa kumpokea Mtot...

BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA: Ask. Minde awataka waamini kijiandaa kumpokea Mtot...: ASKOFU Ludovick Minde wa Jimbo la Katoliki Kahama amewataka waamini   kujitakasa na kujiandaa kiroho  katika kipindi hiki cha maajilio...… Soma zaidi »

Soma zaidi »
16Dec2016

0
 Dini zina mchango mkubwa katika kudumisha haki, am...
Dini zina mchango mkubwa katika kudumisha haki, am...

LUDOVICKMEDIA BLOGSPOT: Dini zina mchango mkubwa katika kudumisha haki, am...: Umuhimu wa kujizatiti katika kukuza na kudumisha misingi ya haki na amani hata katika maeneo ya vita; kuheshimu na kuthamini maisha ya binad...… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
 Askofu mkuu Kasujja ateuliwa kuwa Balozi wa Luxemb...
Askofu mkuu Kasujja ateuliwa kuwa Balozi wa Luxemb...

LUDOVICKMEDIA BLOGSPOT: Askofu mkuu Kasujja ateuliwa kuwa Balozi wa Luxemb...… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
 Siku ya Kupambana na rushwa & Siku ya haki msingi ...
Siku ya Kupambana na rushwa & Siku ya haki msingi ...

LUDOVICKMEDIA BLOGSPOT: Siku ya Kupambana na rushwa & Siku ya haki msingi ...: Baba Mtakatifu Francisko mara baada ya Katekesi yake Jumatano tarehe 7 Desemba 2016 amegusia maadhimisho ya Siku ya Kupambana na Rushwa Kima...… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
 Kanisa nchini Marekani kuonesha mshikamano na Waha...
Kanisa nchini Marekani kuonesha mshikamano na Waha...

LUDOVICKMEDIA BLOGSPOT: Kanisa nchini Marekani kuonesha mshikamano na Waha...: Maaskofu wa Marekani wameiteuwa tarehe 12 Disemba, sikukuu ya Bikira Maria wa Guadalupe, kuwa ni siku ya kuonesha mshikamano kwa wakimbizi ...… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
 Mazito yaliyoibuliwa na Papa Francisko katika maho...
Mazito yaliyoibuliwa na Papa Francisko katika maho...

LUDOVICKMEDIA BLOGSPOT: Mazito yaliyoibuliwa na Papa Francisko katika maho...: Baba Mtakatifu Francisko katika mahojiano maalum na  Jarida la “Tertio” linalomilikiwa na kuchapishwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Ubelgij...… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
Jitaabisheni kutafuta wokovu wa roho zenu!
Jitaabisheni kutafuta wokovu wa roho zenu!

LUDOVICKMEDIA BLOGSPOT: Jitaabisheni kutafuta wokovu wa roho zenu!:    Patriaki Bartolomeo wa kwanza wa Kanisa la Kiorthodox la Costantinopoli anasema, Mungu ni upendo na ni mwingi wa huruma na msamaha mambo ...… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
 Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yak...
Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yak...

LUDOVICKMEDIA BLOGSPOT: Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yak...… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake!
Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake!

Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
Jitaabisheni kutafuta wokovu wa roho zenu!
Jitaabisheni kutafuta wokovu wa roho zenu!

   Patriaki Bartolomeo wa kwanza wa Kanisa la Kiorthodox la Costantinopoli anasema, Mungu ni upendo na ni mwingi wa huruma na msamaha mambo ambayo yamefumbatwa kwa namna ya pekee katika Wosia wa Kitume wa Baba Mtakatifu Francisko “Amoris laetitia” y… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
Mazito yaliyoibuliwa na Papa Francisko katika mahojiano maalum!
Mazito yaliyoibuliwa na Papa Francisko katika mahojiano maalum!

Baba Mtakatifu Francisko katika mahojiano maalum na  Jarida la “Tertio” linalomilikiwa na kuchapishwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Ubelgiji, anapembua kwa namna ya pekee kabisa: matunda ya maadhimisho ya Mwaka Mtakatifu wa Jubilei ya huruma ya Mun… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
Kanisa nchini Marekani kuonesha mshikamano na Wahamiaji
Kanisa nchini Marekani kuonesha mshikamano na Wahamiaji

Maaskofu wa Marekani wameiteuwa tarehe 12 Disemba, sikukuu ya Bikira Maria wa Guadalupe, kuwa ni siku ya kuonesha mshikamano kwa wakimbizi na wahamiaji, waliofika nchini humo katika harakati za kutafuta maisha bora. Lengo ni kuonesha dhahiri hali, h… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
Siku ya Kupambana na rushwa & Siku ya haki msingi za binadamu kimataifa!
Siku ya Kupambana na rushwa & Siku ya haki msingi za binadamu kimataifa!

Baba Mtakatifu Francisko mara baada ya Katekesi yake Jumatano tarehe 7 Desemba 2016 amegusia maadhimisho ya Siku ya Kupambana na Rushwa Kimataifa inayoadhimishwa na Jumuiya ya Kimataifa kila mwaka ifikapo tarehe 9 Desemba. Jumuiya ya Kimataifa tareh… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
Askofu mkuu Kasujja ateuliwa kuwa Balozi wa Luxembourg
Askofu mkuu Kasujja ateuliwa kuwa Balozi wa Luxembourg

Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
Jubilei ya miaka 100 ya Skauti nchini Italia
Jubilei ya miaka 100 ya Skauti nchini Italia

Chama cha Skauti nchini Italia, Jumapili tarehe 4 Desemba 2016 kimeadhimisha Jubilei ya miaka 100 tangu kilipoanzishwa kwa Ibada ya Misa Takatifu iliyoongozwa na Kardinali Gianfranco Ravasi, Rais wa Baraza la Kiapapa la Utamaduni kwa kushirikiana na… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016

0
Dini zina mchango mkubwa katika kudumisha haki, amani na maridhiano
Dini zina mchango mkubwa katika kudumisha haki, amani na maridhiano

Umuhimu wa kujizatiti katika kukuza na kudumisha misingi ya haki na amani hata katika maeneo ya vita; kuheshimu na kuthamini maisha ya binadamu kuwa ni matakatifu na zawadi kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu; uhuru wa kidini na huduma makini kwa wakimb… Soma zaidi »

Soma zaidi »
08Dec2016
 
123 ... 72»
 
Top